Nina haja nawe
Kila saa;
Hawezi mwingine
Kunifaa.
Yesu nakuhitaji
Vivyo kila saa!
Niwezeshe Mwokozi,
Nakujia.
Nina haja nawe;
Kaa nami,
Na maonjo haya,
Hayaumi.
Nina haja nawe;
Kila hali,
Maisha ni bure,
Uli mbali.
Nina haja nawe;
Nifundishe
Na ahadi zako
Zifikishe.
Nina haja nawe;
Mweza yote,
Ni wako kabisa
Siku zote.
![]() Home |
Anthem |
Map |
Language |
History |
Culture |
People |
US Govt Info |
Sports |
Links |
Search |
©1996-2004 Timothy F. Bliss