Yesu unihifadhi
Hapa Msalabani;
Wajiao Kalvari,
Waponywe damuni.
Msalaba, Msalaba,
Humu nina sifa;
Hata nitapumzika,
Mahali pa raha.
Karibu na Msalaba
Nimepatikana,
Na pendo na neema
Nimezungukiwa.
Karibu na Msalaba,
Na Mwana wa Mungu;
Nitatembea naye,
Aliye Mtukufu.
Karibu na Msalaba
Nitakesha sana;
Hata nitawasili
Mbinguni kukaa.
![]() Home |
Anthem |
Map |
Language |
History |
Culture |
People |
US Govt Info |
Sports |
Links |
Search |
©1996-2004 Timothy F. Bliss