| Riddle | Translation | Answer |
| Nyumba yangu kubwabali ina nguzo moja tu. | My house is large but has only one pillar. | Uyoga (mushroom) |
| Haukamatiki wala haushikiki. | It can be neither caught nor held. | Moshi (smoke) |
| Po pote niendapo anifuaya. | Wherever I go, he follows me closely. | Kivuli (shadow) |
| Daima yupo njiani anakwenda, bali bado hajafiki mwisho wa safari yake. | He goes on forever, but never reaches his destination. | Jua (the sun) |
| Kanzu ya baba imejaa matobo. | My father's kanzu (gown) is in holes. | Dema (fishtrap) |
| Mwanangu analia mwituni. | My child is crying in the forest. | Shoka (axe) |
| Samaki wangu anaelea kimgongomgongo. | My big fish is floating on its back. | Merikebu (ship) |
| Daima namsikia tu bali simwoni. | I always hear him but can't see him. | Upepo (wind) |
| Nikutanapo na adui yangu hunyong'onyea nisiwe na la kufanya. | When I come across my enemy, I am not confused but I can't do anything about it. | Ugonjwa (illness) |
| Ninapompiga mwanangu watu hucheza. | When I beat my child, people dance. | Ngoma (drum) |
| Nina watoto wangu ambao daima wanafukuzana lakini hawakamatani. | I have children who are always chasing each other but they never overtake one another. | Magurudumu ya gari (wheels of a vehicle) |
| Nyumba yangu haina mlango. | My house has no door. | Yai (egg) |
| Nyumba yangu kuu ina mlango mdogo. | My house is large but the door is small. | Chupa (bottle) |
| Nina watoto wanne, lakini akiondoka mmoja waliosalia hawafanyi kazi. | My children are four in number but, when one goes away, the rest cannot work. | Matendegu ya kitanda (legs of a bed) |
| Taa yangu yazagaa ulimwengu mzima. | My lamp illuminates the whole world. | Mwezi (the moon) |
![]() Home |
Anthem |
Map |
Language |
History |
Culture |
People |
US Govt Info |
Sports |
Links |
Search |
©1996-2004 Timothy F. Bliss